Uchaguzi nchini Kenya

Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Uchaguzi Mkuu nchini Kenya hufanyika baada ya kila miaka mitano. Katika miaka ya hivi karibuni. Kenya imekuwa ikikumbwa na mizozo wakati wa uchaguzi, kwa mfano shuhudio la uchaguzi wa urais mnamo 2007. Ingawa mfumo wa vyama vingi ulianzishwa nchini mnamo 1992 na licha ya nchi hii kufanya uchaguzi tangu 1962, bado kuna matatizo makubwa ya taasisi za kisiasa ambayo huifanya hali kuwa vigumu kumaliza uchaguzi bila mizozo. .[1]

  1. The Electoral Process in Kenya: A Review of Past Experience and Recommendations for Reform (PDF) (Ripoti). International Foundation for Electoral Systems. 2008. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2011-09-27. Iliwekwa mnamo 2010-01-25. {{cite report}}: Unknown parameter |deadurl= ignored (|url-status= suggested) (help); line feed character in |title= at position 49 (help)

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search